1 Samuel 17:4

4 aShujaa aliyeitwa Goliathi, aliyetoka Gathi, akajitokeza kutoka kambi ya Wafilisti. Alikuwa na urefu dhiraa sita na shibiri moja.
Dhiraa sita na shibiri moja ni sawa na mita 3, au futi 9 na inchi 8.
Copyright information for SwhKC